Saturday, January 19, 2013

HUYU MJAMAA DIVA SIJAMSOMA...

Unajua kuna watu wamepewa nafasi flani kwenye redio basi wanaona wanajua sana music kuna huyu mtangazanji anaitwa diva kwenye twitter amesema track ya kelele na video ni mbaya sana hivi anajua maana ya track na video mbaya au katumwa huyu....sijamsoma bado ila simlaumu kaanza music juzi juzi ndo tatizo...

No comments:

Post a Comment